NEWS

BLOG

NEWS

Wednesday, February 13, 2013


TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....
TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....

Monday, February 4, 2013

taifa stars

katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.
katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.

Saturday, February 2, 2013


young african sport club vs mtibwa sugar leo katika uwanja wa taifa dar es salaam,mechi hiyo i likuwa si rahisi kati ya young african vs mtibwa sugar leo hii iliyo cheza muda wa saa 4:00,magoli hayo yalifungwa na KISIGA wa mtibwa sugar na HAMIS KIIZA,timu zote zikitoka sare  ya 1-1.
young african sport club vs mtibwa sugar leo katika uwanja wa taifa dar es salaam,mechi hiyo i likuwa si rahisi kati ya young african vs mtibwa sugar leo hii iliyo cheza muda wa saa 4:00,magoli hayo yalifungwa na KISIGA wa mtibwa sugar na HAMIS KIIZA,timu zote zikitoka sare  ya 1-1.